Kutoka 16:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Zingatieni kwamba mimi, Yehova, nimewapa Sabato.+ Ndiyo sababu katika siku ya sita ninawapa mkate wa siku mbili. Kila mtu anapaswa kukaa mahali alipo; hakuna yeyote anayepaswa kutoka kwake siku ya saba.” Kutoka 34:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Kwa siku sita mtafanya kazi, lakini siku ya saba mtapumzika.*+ Mtapumzika hata wakati wa kulima na wa kuvuna.
29 Zingatieni kwamba mimi, Yehova, nimewapa Sabato.+ Ndiyo sababu katika siku ya sita ninawapa mkate wa siku mbili. Kila mtu anapaswa kukaa mahali alipo; hakuna yeyote anayepaswa kutoka kwake siku ya saba.”
21 “Kwa siku sita mtafanya kazi, lakini siku ya saba mtapumzika.*+ Mtapumzika hata wakati wa kulima na wa kuvuna.