Mambo ya Walawi 24:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mfupa uliovunjika kwa mfupa uliovunjika, jicho kwa jicho, jino kwa jino, atajeruhiwa kama alivyomjeruhi mwenzake.+ Mathayo 5:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Mlisikia kwamba ilisemwa: ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’+
20 Mfupa uliovunjika kwa mfupa uliovunjika, jicho kwa jicho, jino kwa jino, atajeruhiwa kama alivyomjeruhi mwenzake.+