Waefeso 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Pia, enyi mabwana, endeleeni kuwatendea kwa njia hiyohiyo, bila kuwatisha, kwa maana mnajua kwamba Bwana wao na wenu pia yuko mbinguni,+ naye hana ubaguzi wowote. Wakolosai 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Enyi mabwana, watendeeni watumwa wenu kwa njia ya uadilifu na haki, mkijua kwamba ninyi pia mna Bwana mbinguni.+
9 Pia, enyi mabwana, endeleeni kuwatendea kwa njia hiyohiyo, bila kuwatisha, kwa maana mnajua kwamba Bwana wao na wenu pia yuko mbinguni,+ naye hana ubaguzi wowote.
4 Enyi mabwana, watendeeni watumwa wenu kwa njia ya uadilifu na haki, mkijua kwamba ninyi pia mna Bwana mbinguni.+