2 Samweli 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye anapaswa kulipa mara nne zaidi kwa ajili ya mwanakondoo huyo,+ kwa sababu alifanya jambo hilo na hakuwa na huruma.” Luka 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Zakayo akasimama na kumwambia Bwana: “Tazama! Nitawapa maskini nusu ya mali zangu, Bwana, na chochote nilichomnyang’anya mtu,* nitamrudishia mara nne.”+
6 Naye anapaswa kulipa mara nne zaidi kwa ajili ya mwanakondoo huyo,+ kwa sababu alifanya jambo hilo na hakuwa na huruma.”
8 Lakini Zakayo akasimama na kumwambia Bwana: “Tazama! Nitawapa maskini nusu ya mali zangu, Bwana, na chochote nilichomnyang’anya mtu,* nitamrudishia mara nne.”+