Mambo ya Walawi 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “‘Mwanamume hapaswi kujichafua kwa kufanya ngono na mnyama; wala mwanamke hapaswi kwenda kufanya ngono na mnyama.+ Kufanya hivyo kunakiuka sheria ya asili. Mambo ya Walawi 20:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “‘Mwanamume akifanya ngono na mnyama lazima auawe, mnapaswa pia kumuua mnyama huyo.+ Kumbukumbu la Torati 27:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “‘Amelaaniwa mtu anayefanya ngono na mnyama yeyote.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)
23 “‘Mwanamume hapaswi kujichafua kwa kufanya ngono na mnyama; wala mwanamke hapaswi kwenda kufanya ngono na mnyama.+ Kufanya hivyo kunakiuka sheria ya asili.