Kumbukumbu la Torati 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Hakuna mtu anayepaswa kuchukua jiwe la chini la kusagia au jiwe la juu kuwa dhamana kwa ajili ya mkopo,*+ kwa sababu kufanya hivyo ni sawa na kuchukua riziki ya* mtu kuwa dhamana.
6 “Hakuna mtu anayepaswa kuchukua jiwe la chini la kusagia au jiwe la juu kuwa dhamana kwa ajili ya mkopo,*+ kwa sababu kufanya hivyo ni sawa na kuchukua riziki ya* mtu kuwa dhamana.