Mambo ya Walawi 22:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Ng’ombe dume au mwanakondoo dume au mbuzi akizaliwa, atakaa na mama yake kwa siku saba,+ lakini kuanzia siku ya nane atapokewa kwa kibali kuwa dhabihu, dhabihu kwa Yehova inayochomwa kwa moto.
27 “Ng’ombe dume au mwanakondoo dume au mbuzi akizaliwa, atakaa na mama yake kwa siku saba,+ lakini kuanzia siku ya nane atapokewa kwa kibali kuwa dhabihu, dhabihu kwa Yehova inayochomwa kwa moto.