Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Sikilizeni mambo ninayowaamuru leo.+ Tazama, ninawafukuza Waamori, Wakanaani, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi+ kutoka mbele yenu.

  • Yoshua 5:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yoshua alipokuwa karibu na Yeriko, aliinua macho na kumwona mwanamume+ fulani amesimama mbele yake akiwa ameshika upanga uliochomolewa.+ Yoshua akamkaribia na kumuuliza: “Uko upande wetu au wa maadui wetu?” 14 Akamjibu: “Hapana, mimi ni mkuu* wa jeshi la Yehova.”+ Basi Yoshua akaanguka chini kifudifudi, akasujudu, na kumwambia: “Bwana wangu una ujumbe gani kwangu mimi mtumishi wako?”

  • Yoshua 24:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘Nami nikawaleta katika nchi ya Waamori waliokuwa wakiishi ng’ambo ya* Yordani, nao wakapigana nanyi.+ Lakini niliwatia mikononi mwenu ili mmiliki nchi yao, nikawaangamiza kutoka mbele yenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki