-
Yoshua 5:13, 14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Yoshua alipokuwa karibu na Yeriko, aliinua macho na kumwona mwanamume+ fulani amesimama mbele yake akiwa ameshika upanga uliochomolewa.+ Yoshua akamkaribia na kumuuliza: “Uko upande wetu au wa maadui wetu?” 14 Akamjibu: “Hapana, mimi ni mkuu* wa jeshi la Yehova.”+ Basi Yoshua akaanguka chini kifudifudi, akasujudu, na kumwambia: “Bwana wangu una ujumbe gani kwangu mimi mtumishi wako?”
-