Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Pia, Haruni anapowasha taa jioni kabla ya giza kuingia,* atafukiza uvumba. Ni uvumba unaofukizwa kwa ukawaida mbele za Yehova katika vizazi vyenu vyote.

  • Mambo ya Walawi 24:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Waamuru Waisraeli wakuletee mafuta safi ya zeituni zilizopondwa ili taa ziwake daima.+ 3 Katika hema la mkutano, nje ya pazia lililo karibu na sanduku la ushahidi, Haruni atahakikisha kwamba taa hizo zinawaka daima kuanzia jioni mpaka asubuhi mbele za Yehova. Hiyo ni sheria ya kudumu katika vizazi vyenu vyote.

  • Hesabu 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwambie hivi Haruni: ‘Unapowasha taa, taa hizo saba zinapaswa kuangaza upande wa mbele wa kinara cha taa.’”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 13:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wanamfukizia Yehova moshi wa dhabihu za kuteketezwa kila asubuhi na kila jioni+ pamoja na uvumba uliotiwa manukato,+ na mikate ya tabaka*+ iko kwenye meza iliyotengenezwa kwa dhahabu safi, nao wanawasha kinara cha taa cha dhahabu+ na taa zake kila jioni,+ kwa sababu tunatekeleza jukumu letu kwa Yehova Mungu wetu; lakini ninyi mmemwacha.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki