33 Wakamletea Musa hema la ibada+ pamoja na vifaa vyake vyote: vibanio vyake,+ viunzi vyake,+ fito zake,+ nguzo zake na vikalio vyake;+ 34 kifuniko chake cha ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu,+ kifuniko chake cha ngozi za sili, na pazia lake;+