Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 39:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Wakamletea Musa hema la ibada+ pamoja na vifaa vyake vyote: vibanio vyake,+ viunzi vyake,+ fito zake,+ nguzo zake na vikalio vyake;+

  • Kutoka 39:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 kinara cha taa cha dhahabu safi, taa zake,+ safu zake za taa, na vyombo vyake vyote+ na mafuta kwa ajili ya taa hizo;+

  • Mambo ya Walawi 24:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yehova akaendelea kumwambia Musa: 2 “Waamuru Waisraeli wakuletee mafuta safi ya zeituni zilizopondwa ili taa ziwake daima.+ 3 Katika hema la mkutano, nje ya pazia lililo karibu na sanduku la ushahidi, Haruni atahakikisha kwamba taa hizo zinawaka daima kuanzia jioni mpaka asubuhi mbele za Yehova. Hiyo ni sheria ya kudumu katika vizazi vyenu vyote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki