31 “Nawe utawaambia Waisraeli, ‘Mafuta haya ya kutia mafuta yataendelea kuwa matakatifu kwangu katika vizazi vyenu.+ 32 Hayapaswi kupakwa kwenye ngozi ya mwanadamu, nanyi hampaswi kutengeneza kitu chochote chenye mchanganyiko kama huo. Ni mafuta matakatifu. Yataendelea kuwa matakatifu kwenu.