-
Kutoka 8:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Baadaye Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni, ‘Unyooshe mkono wako ulio na fimbo juu ya mito, mifereji ya Nile, na maeneo yenye umajimaji, ili vyura waje juu ya nchi ya Misri.’”
-
-
Kutoka 17:5, 6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Nenda mbele ya watu, wachukue wazee kadhaa wa Israeli na fimbo yako uliyotumia kupiga maji ya Mto Nile.+ Ibebe mkononi mwako na uendelee kutembea. 6 Tazama! Nitakuwa nimesimama mbele yako kwenye mwamba huko Horebu. Unapaswa kuupiga mwamba huo, na maji yatatoka ndani yake, kisha watu watayanywa.”+ Musa akafanya hivyo mbele ya wazee wa Israeli.
-