Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 16:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Mara moja Haruni akachukua chetezo, kama Musa alivyomwambia, akakimbia katikati ya kusanyiko hilo, na pigo lilikuwa limeanza kuwaathiri watu. Basi akaweka uvumba juu ya chetezo, akaanza kuufukiza ili dhambi yao ifunikwe.

  • Hesabu 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo watu wakaja kwa Musa na kumwambia: “Tumetenda dhambi kwa kumnung’unikia Yehova na wewe pia.+ Msihi Yehova atuondolee nyoka hawa.” Basi Musa akamsihi Mungu kwa niaba ya watu.+

  • Kumbukumbu la Torati 9:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kisha nikalala kifudifudi mbele za Yehova kwa siku 40, mchana na usiku, kama nilivyofanya mwanzoni. Sikula chakula wala kunywa maji,+ kwa sababu ya dhambi zote mlizokuwa mmetenda kwa kufanya uovu machoni pa Yehova na kumkasirisha.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki