Kutoka 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nimeona kwamba watu hawa ni wakaidi.*+ Kumbukumbu la Torati 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi, mjue kwamba Yehova Mungu wenu hawapi nchi hii nzuri mwimiliki kwa sababu ya uadilifu wenu; kwa maana ninyi ni watu wakaidi.*+ Matendo 7:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 “Ninyi watu wagumu na wasiotahiriwa katika mioyo na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo mnavyofanya pia.+
6 Basi, mjue kwamba Yehova Mungu wenu hawapi nchi hii nzuri mwimiliki kwa sababu ya uadilifu wenu; kwa maana ninyi ni watu wakaidi.*+
51 “Ninyi watu wagumu na wasiotahiriwa katika mioyo na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo mnavyofanya pia.+