44 Yehova akawapa pia amani katika nchi yote, kama alivyowaapia mababu zao,+ na hakuna adui hata mmoja kati ya maadui wao wote aliyeweza kuwashinda.+ Yehova aliwatia maadui wao wote mikononi mwao.+
23Siku nyingi baada ya Yehova kuwapa Waisraeli amani+ kwa kuwaokoa kutoka kwa maadui wote waliowazunguka, Yoshua alipokuwa amezeeka na umri wake kusonga sana,+