Kutoka 19:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo Yehova akashuka juu ya kilele cha Mlima Sinai. Kisha Yehova akamwita Musa apande juu mlimani, naye Musa akapanda mlimani.+ Kutoka 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Panda uje kwangu mlimani na ukae huku. Nitakupa mabamba ya mawe yenye sheria na amri nitakazoandika ili kuwafundisha watu.”+
20 Kwa hiyo Yehova akashuka juu ya kilele cha Mlima Sinai. Kisha Yehova akamwita Musa apande juu mlimani, naye Musa akapanda mlimani.+
12 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Panda uje kwangu mlimani na ukae huku. Nitakupa mabamba ya mawe yenye sheria na amri nitakazoandika ili kuwafundisha watu.”+