Mambo ya Walawi 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Anapaswa kumletea kuhani kondoo dume asiye na kasoro kutoka kundini kulingana na thamani iliyokadiriwa, kwa ajili ya dhabihu ya hatia.+ Kisha kuhani atamtolea dhabihu ya kufunika kosa alilofanya bila kukusudia na bila kujua, naye atasamehewa.
18 Anapaswa kumletea kuhani kondoo dume asiye na kasoro kutoka kundini kulingana na thamani iliyokadiriwa, kwa ajili ya dhabihu ya hatia.+ Kisha kuhani atamtolea dhabihu ya kufunika kosa alilofanya bila kukusudia na bila kujua, naye atasamehewa.