3 “‘Kuhani aliyetiwa mafuta+ akitenda dhambi+ na kuwaletea watu hatia, basi atamtolea Yehova ng’ombe dume mchanga asiye na kasoro, kuwa dhabihu ya dhambi kwa ajili ya dhambi aliyotenda.+
12 sehemu zote zinazobaki za ng’ombe dume huyo—atazipeleka mahali safi nje ya kambi, mahali ambapo majivu* hutupwa, naye ataziteketeza kwa moto juu ya kuni.+ Zinapaswa kuteketezwa mahali ambapo majivu hutupwa.