Mambo ya Walawi 22:29, 30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Mkimtolea Yehova dhabihu ya shukrani,+ mnapaswa kuitoa dhabihu hiyo ili mpate kibali chake. 30 Inapaswa kuliwa siku hiyohiyo. Hampaswi kuacha sehemu yoyote mpaka asubuhi.+ Mimi ni Yehova.
29 “Mkimtolea Yehova dhabihu ya shukrani,+ mnapaswa kuitoa dhabihu hiyo ili mpate kibali chake. 30 Inapaswa kuliwa siku hiyohiyo. Hampaswi kuacha sehemu yoyote mpaka asubuhi.+ Mimi ni Yehova.