Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Atatoa dhabihu ya kufunika dhambi kwa ajili ya mahali patakatifu,+ hema la mkutano,+ na madhabahu;+ naye atatoa dhabihu ya kufunika dhambi za makuhani na za watu wote.+

  • Waebrania 5:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana kila kuhani mkuu anayechaguliwa miongoni mwa wanadamu huwekwa rasmi kwa ajili yao juu ya mambo yanayohusiana na Mungu,+ ili atoe zawadi na dhabihu kwa ajili ya dhambi.+ 2 Yeye anaweza kuwatendea kwa huruma* wale wasiojua na wanaokosea,* kwa sababu yeye pia anapambana* na udhaifu wake mwenyewe, 3 na hivyo ni lazima atoe dhabihu kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe kama vile anavyotoa kwa ajili ya dhambi za watu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki