-
Mambo ya Walawi 4:3, 4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 “‘Kuhani aliyetiwa mafuta+ akitenda dhambi+ na kuwaletea watu hatia, basi atamtolea Yehova ng’ombe dume mchanga asiye na kasoro, kuwa dhabihu ya dhambi kwa ajili ya dhambi aliyotenda.+ 4 Atamleta huyo ng’ombe dume kwenye mlango wa hema la mkutano+ mbele za Yehova na kuweka mkono wake juu ya kichwa cha ng’ombe dume huyo, naye atamchinja mbele za Yehova.+
-