Mambo ya Walawi 13:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Kuhani atachunguza ugonjwa huo, naye anapaswa kulitenga vazi hilo lenye ugonjwa kwa siku saba.+ Mambo ya Walawi 14:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 basi kuhani atatoka nje ya mlango wa nyumba hiyo na kuifunga kwa siku saba.+ Hesabu 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo Miriamu akatengwa nje ya kambi kwa siku saba,+ na watu hawakuendelea na safari hadi Miriamu aliporudishwa kambini.
15 Kwa hiyo Miriamu akatengwa nje ya kambi kwa siku saba,+ na watu hawakuendelea na safari hadi Miriamu aliporudishwa kambini.