44 kuhani ataingia ndani na kuikagua. Ikiwa madoa hayo yameenea, nyumba hiyo ina ukoma hatari.+ Si safi. 45 Ataagiza nyumba hiyo ibomolewe, yaani, mawe yake, mbao zake, na lipu yote katika nyumba hiyo, kisha vitu hivyo vitatupwa nje ya jiji, mahali pasipo safi.+