-
Mambo ya Walawi 7:1-4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu dhabihu ya hatia:+ Ni dhabihu takatifu kabisa. 2 Mnyama wa dhabihu ya hatia atachinjiwa mahali ambapo dhabihu za kuteketezwa huchinjwa, na damu yake+ itanyunyizwa pande zote za madhabahu.+ 3 Kuhani atatoa mafuta yote+ ya mnyama huyo pamoja na mkia wake wenye mafuta, mafuta yanayofunika matumbo, 4 na figo zake mbili pamoja na mafuta yake yaliyo karibu na kiuno. Ataondoa pia figo pamoja na mafuta yaliyo juu ya ini.+
-