-
Mambo ya Walawi 15:13, 14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 “‘Mtu aliyekuwa akitokwa na umajimaji akipona na kuwa safi, atangoja kwa siku saba ili atakaswe, na ni lazima afue mavazi yake na kuoga kwenye maji ya kijito, naye atakuwa safi.+ 14 Siku ya nane, anapaswa kuchukua njiwa tetere wawili au hua wawili wachanga+ na kwenda mbele za Yehova, kwenye mlango wa hema la mkutano na kumpa kuhani ndege hao.
-