Mambo ya Walawi 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ili muweze kutofautisha mambo matakatifu na mambo yaliyo najisi, mambo safi na mambo yasiyo safi,+ Ezekieli 44:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “‘Wanapaswa kuwafundisha watu wangu tofauti kati ya kitu kitakatifu na kitu cha kawaida; nao watawafundisha tofauti kati ya kitu kisicho safi na kitu kilicho safi.+
10 Ili muweze kutofautisha mambo matakatifu na mambo yaliyo najisi, mambo safi na mambo yasiyo safi,+
23 “‘Wanapaswa kuwafundisha watu wangu tofauti kati ya kitu kitakatifu na kitu cha kawaida; nao watawafundisha tofauti kati ya kitu kisicho safi na kitu kilicho safi.+