Mambo ya Walawi 19:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “‘Ni lazima mshike sabato zangu,+ nanyi mnapaswa kuheshimu* mahali pangu patakatifu. Mimi ni Yehova. Hesabu 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mnapaswa kumtoa nje awe ni mwanamume au mwanamke. Mnapaswa kuwatoa nje ya kambi watu hao ili wasichafue+ kambi za wale ninaokaa* kati yao.”+ Hesabu 19:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “‘Lakini mtu asiye safi ambaye hatajitakasa ni lazima auawe kutoka kutanikoni+ kwa sababu amechafua mahali patakatifu pa Yehova. Kwa kuwa hakunyunyiziwa maji ya kutakasa, yeye si safi.
30 “‘Ni lazima mshike sabato zangu,+ nanyi mnapaswa kuheshimu* mahali pangu patakatifu. Mimi ni Yehova.
3 Mnapaswa kumtoa nje awe ni mwanamume au mwanamke. Mnapaswa kuwatoa nje ya kambi watu hao ili wasichafue+ kambi za wale ninaokaa* kati yao.”+
20 “‘Lakini mtu asiye safi ambaye hatajitakasa ni lazima auawe kutoka kutanikoni+ kwa sababu amechafua mahali patakatifu pa Yehova. Kwa kuwa hakunyunyiziwa maji ya kutakasa, yeye si safi.