Mambo ya Walawi 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waambieni Waisraeli, ‘Mwanamume akitokwa na umajimaji kwenye kiungo chake cha uzazi,* umajimaji huo unamfanya asiwe safi.+ Mambo ya Walawi 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “‘Mwanamke akitokwa na damu kwa siku nyingi+ wakati ambao si wa hedhi,+ au akitokwa na damu kwa muda unaozidi kipindi chake cha hedhi, hatakuwa safi sikuzote anazotokwa na damu, kama tu inavyokuwa wakati wa hedhi.
2 “Waambieni Waisraeli, ‘Mwanamume akitokwa na umajimaji kwenye kiungo chake cha uzazi,* umajimaji huo unamfanya asiwe safi.+
25 “‘Mwanamke akitokwa na damu kwa siku nyingi+ wakati ambao si wa hedhi,+ au akitokwa na damu kwa muda unaozidi kipindi chake cha hedhi, hatakuwa safi sikuzote anazotokwa na damu, kama tu inavyokuwa wakati wa hedhi.