Kutoka 34:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Basi Musa akashuka Mlima Sinai akiwa amebeba mikononi yale mabamba mawili+ ya Ushahidi. Aliposhuka mlimani, Musa hakujua kwamba ngozi ya uso wake ilikuwa ikitoa miale kwa sababu alikuwa ameongea na Mungu.
29 Basi Musa akashuka Mlima Sinai akiwa amebeba mikononi yale mabamba mawili+ ya Ushahidi. Aliposhuka mlimani, Musa hakujua kwamba ngozi ya uso wake ilikuwa ikitoa miale kwa sababu alikuwa ameongea na Mungu.