Mambo ya Walawi 20:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Mwanamume akifanya ngono na dada yake, binti ya baba yake au binti ya mama yake na kuona uchi wake na binti huyo pia aone uchi wake, ni jambo la aibu.+ Ni lazima wauawe mbele ya watu wote. Amemwaibisha dada yake.* Anapaswa kuadhibiwa.
17 “‘Mwanamume akifanya ngono na dada yake, binti ya baba yake au binti ya mama yake na kuona uchi wake na binti huyo pia aone uchi wake, ni jambo la aibu.+ Ni lazima wauawe mbele ya watu wote. Amemwaibisha dada yake.* Anapaswa kuadhibiwa.