Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Mwanamume akifanya ngono na dada yake, binti ya baba yake au binti ya mama yake na kuona uchi wake na binti huyo pia aone uchi wake, ni jambo la aibu.+ Ni lazima wauawe mbele ya watu wote. Amemwaibisha dada yake.* Anapaswa kuadhibiwa.

  • Kumbukumbu la Torati 27:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “‘Amelaaniwa mtu anayefanya ngono na dada yake, binti ya baba yake au binti ya mama yake.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)

  • 2 Samweli 13:10-12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kisha Amnoni akamwambia Tamari: “Niletee chakula* katika chumba cha kulala, ili nikichukue kutoka mkononi mwako na kukila.” Basi Tamari akachukua keki zenye umbo la moyo ambazo alikuwa ameoka na kumletea Amnoni ndugu yake katika chumba cha kulala. 11 Alipomletea ili ale, Amnoni akamkamata kwa nguvu na kumwambia: “Njoo, ulale nami, dada yangu.” 12 Lakini Tamari akamwambia: “Usifanye hivyo ndugu yangu! Usiniabishe, kwa maana jambo kama hili halipaswi kufanywa katika Israeli.+ Usitende jambo hili la aibu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki