Hesabu 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Waisraeli walipokuwa nyikani, walimkuta mtu fulani akiokota kuni siku ya Sabato.+ Hesabu 15:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Basi Yehova akamwambia Musa: “Ni lazima mtu huyo auawe,+ Waisraeli wote watampiga mawe nje ya kambi.”+ Kumbukumbu la Torati 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mikono ya mashahidi inapaswa kuwa ya kwanza kumuua, kisha mikono ya watu wengine wote. Ni lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.+
35 Basi Yehova akamwambia Musa: “Ni lazima mtu huyo auawe,+ Waisraeli wote watampiga mawe nje ya kambi.”+
7 Mikono ya mashahidi inapaswa kuwa ya kwanza kumuua, kisha mikono ya watu wengine wote. Ni lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.+