- 
	                        
            
            Mambo ya Walawi 25:15, 16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
15 Bei ya unachonunua inapaswa kulingana na idadi ya miaka ambayo imepita baada ya Mwadhimisho wa Miaka 50, naye anapaswa kukuuzia kulingana na idadi ya miaka inayobaki ya mazao.+ 16 Ikiwa miaka inayobaki ni mingi, anaweza kuongeza bei, na ikiwa ni michache anapaswa kupunguza bei kwa sababu anakuuzia idadi ya mazao utakayovuna.
 
 -