Kumbukumbu la Torati 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Yehova Mungu wenu anatembea katika kambi yenu+ ili awakomboe na kuwatia maadui wenu mikononi mwenu, na lazima kambi yenu iwe takatifu,+ ili asione kitu chochote kichafu ndani yenu, naye ageuke na kuacha kutembea pamoja nanyi.
14 Kwa maana Yehova Mungu wenu anatembea katika kambi yenu+ ili awakomboe na kuwatia maadui wenu mikononi mwenu, na lazima kambi yenu iwe takatifu,+ ili asione kitu chochote kichafu ndani yenu, naye ageuke na kuacha kutembea pamoja nanyi.