Kumbukumbu la Torati 28:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yehova atawapiga kwa kifua kikuu, homa kali,+ mwasho, joto la homa, upanga,+ upepo unaochoma, na kuvu;+ navyo vitawaandama mpaka mtakapoangamia. Kumbukumbu la Torati 28:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Mavuno ya ardhi yako na mazao yako yote yataliwa na watu usiowajua,+ na sikuzote watu watawalaghai na kuwakandamiza. Waamuzi 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Waisraeli walipopanda mbegu, Wamidiani, Waamaleki,+ na watu wa Mashariki+ waliwashambulia.
22 Yehova atawapiga kwa kifua kikuu, homa kali,+ mwasho, joto la homa, upanga,+ upepo unaochoma, na kuvu;+ navyo vitawaandama mpaka mtakapoangamia.
33 Mavuno ya ardhi yako na mazao yako yote yataliwa na watu usiowajua,+ na sikuzote watu watawalaghai na kuwakandamiza.