Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Katika siku za Shamgari+ mwana wa Anathi,

      Katika siku za Yaeli,+ barabara hazikuwa na watu;

      Wasafiri walipita vichochoroni.

  • Isaya 33:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Barabara kuu zimebaki tupu;

      Hakuna mtu anayesafiri kwenye vijia.

      Amelivunja* agano;

      Ameyakataa majiji;

      Hamheshimu mwanadamu anayeweza kufa.+

  • Zekaria 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ‘Nami niliwatawanya kwa kimbunga kotekote katika mataifa yote ambayo hawakuyajua,+ na nchi ikaachwa ukiwa nyuma yao, hivi kwamba hakuna yeyote aliyeingia wala kutoka;+ kwa maana waliibadili nchi yenye kutamanika ikawa kitu cha kutisha.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki