Kumbukumbu la Torati 28:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yehova atafanya magonjwa yawaandame mpaka atakapokuwa amewaangamiza kutoka katika nchi mnayoenda kuimiliki.+ Yeremia 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nitawaletea upanga,+ njaa kali, na ugonjwa hatari,+ mpaka waangamie kutoka katika nchi niliyowapa wao na mababu zao.”’” Amosi 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 ‘Niliwaletea ugonjwa hatari kama ule wa* Misri.+ Niliwaua vijana wenu wa kiume+ kwa upanga na kuwateka farasi wenu.+ Nilifanya uvundo wa kambi zenu upande katika mianzi ya pua zenu;+Lakini hamkunirudia,’ asema Yehova.
21 Yehova atafanya magonjwa yawaandame mpaka atakapokuwa amewaangamiza kutoka katika nchi mnayoenda kuimiliki.+
10 Nami nitawaletea upanga,+ njaa kali, na ugonjwa hatari,+ mpaka waangamie kutoka katika nchi niliyowapa wao na mababu zao.”’”
10 ‘Niliwaletea ugonjwa hatari kama ule wa* Misri.+ Niliwaua vijana wenu wa kiume+ kwa upanga na kuwateka farasi wenu.+ Nilifanya uvundo wa kambi zenu upande katika mianzi ya pua zenu;+Lakini hamkunirudia,’ asema Yehova.