Kutoka 30:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wote watakaoandikishwa watatoa nusu ya shekeli* kulingana na shekeli ya kawaida ya mahali patakatifu.*+ Gera 20* ni sawa na shekeli moja. Nusu shekeli ni mchango kwa Yehova.+ Mambo ya Walawi 27:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “‘Thamani ya kila kitu itakadiriwa kulingana na shekeli ya kawaida ya mahali patakatifu. Shekeli moja ni sawa na gera 20.*
13 Wote watakaoandikishwa watatoa nusu ya shekeli* kulingana na shekeli ya kawaida ya mahali patakatifu.*+ Gera 20* ni sawa na shekeli moja. Nusu shekeli ni mchango kwa Yehova.+
25 “‘Thamani ya kila kitu itakadiriwa kulingana na shekeli ya kawaida ya mahali patakatifu. Shekeli moja ni sawa na gera 20.*