Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana nimewapa Walawi sehemu ya kumi ambayo Waisraeli wananitolea mchango, mimi Yehova, ili iwe urithi wao. Ndiyo sababu nimewaambia, ‘Hawapaswi kuchukua urithi miongoni mwa Waisraeli.’”+

  • Kumbukumbu la Torati 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndio maana Lawi hana fungu wala urithi pamoja na ndugu zake. Yehova ndiye urithi wake, kama Yehova Mungu wako alivyokuwa amemwambia.+

  • Kumbukumbu la Torati 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na msimpuuze Mlawi yeyote aliye ndani ya majiji yenu,+ kwa sababu hana fungu wala urithi pamoja nanyi.+

  • Yoshua 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Musa alikuwa tayari ameyapa makabila mawili na nusu urithi ng’ambo ya* Yordani,+ lakini hakuwapa Walawi urithi kati yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki