Hesabu 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana nimewapa Walawi sehemu ya kumi ambayo Waisraeli wananitolea mchango, mimi Yehova, ili iwe urithi wao. Ndiyo sababu nimewaambia, ‘Hawapaswi kuchukua urithi miongoni mwa Waisraeli.’”+ Kumbukumbu la Torati 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndio maana Lawi hana fungu wala urithi pamoja na ndugu zake. Yehova ndiye urithi wake, kama Yehova Mungu wako alivyokuwa amemwambia.+ Kumbukumbu la Torati 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na msimpuuze Mlawi yeyote aliye ndani ya majiji yenu,+ kwa sababu hana fungu wala urithi pamoja nanyi.+ Yoshua 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Musa alikuwa tayari ameyapa makabila mawili na nusu urithi ng’ambo ya* Yordani,+ lakini hakuwapa Walawi urithi kati yao.+
24 Kwa maana nimewapa Walawi sehemu ya kumi ambayo Waisraeli wananitolea mchango, mimi Yehova, ili iwe urithi wao. Ndiyo sababu nimewaambia, ‘Hawapaswi kuchukua urithi miongoni mwa Waisraeli.’”+
9 Ndio maana Lawi hana fungu wala urithi pamoja na ndugu zake. Yehova ndiye urithi wake, kama Yehova Mungu wako alivyokuwa amemwambia.+
27 Na msimpuuze Mlawi yeyote aliye ndani ya majiji yenu,+ kwa sababu hana fungu wala urithi pamoja nanyi.+
3 Musa alikuwa tayari ameyapa makabila mawili na nusu urithi ng’ambo ya* Yordani,+ lakini hakuwapa Walawi urithi kati yao.+