Hesabu 33:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Halafu wakaondoka Almon-diblathaimu na kupiga kambi kwenye milima ya Abarimu+ karibu na Nebo.+ Kumbukumbu la Torati 32:48, 49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Yehova akaongea na Musa siku hiyohiyo na kumwambia hivi: 49 “Panda juu ya mlima huu wa Abarimu,+ Mlima Nebo,+ ulio katika nchi ya Moabu, unaoelekeana na Yeriko, nawe utazame nchi ya Kanaani, ninayowapa Waisraeli waimiliki.+
48 Yehova akaongea na Musa siku hiyohiyo na kumwambia hivi: 49 “Panda juu ya mlima huu wa Abarimu,+ Mlima Nebo,+ ulio katika nchi ya Moabu, unaoelekeana na Yeriko, nawe utazame nchi ya Kanaani, ninayowapa Waisraeli waimiliki.+