Kutoka 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Haya ndiyo majina ya wana wa Lawi,+ kulingana na koo zao: Gershoni, Kohathi, na Merari.+ Lawi aliishi miaka 137. Hesabu 26:57 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Sasa hawa ndio Walawi walioandikishwa+ kulingana na koo zao: kutoka kwa Gershoni, ukoo wa Wagershoni; kutoka kwa Kohathi,+ ukoo wa Wakohathi; kutoka kwa Merari, ukoo wa Wamerari. 1 Mambo ya Nyakati 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kisha Daudi akawapanga* katika vikundi+ kulingana na wana hawa wa Lawi: Gershoni, Kohathi, na Merari.+
16 Haya ndiyo majina ya wana wa Lawi,+ kulingana na koo zao: Gershoni, Kohathi, na Merari.+ Lawi aliishi miaka 137.
57 Sasa hawa ndio Walawi walioandikishwa+ kulingana na koo zao: kutoka kwa Gershoni, ukoo wa Wagershoni; kutoka kwa Kohathi,+ ukoo wa Wakohathi; kutoka kwa Merari, ukoo wa Wamerari.
6 Kisha Daudi akawapanga* katika vikundi+ kulingana na wana hawa wa Lawi: Gershoni, Kohathi, na Merari.+