Mambo ya Walawi 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “‘Ikiwa anatoa dhabihu kutoka katika kundi,+ yaani, kutoka kati ya wanakondoo dume au mbuzi, anapaswa kutoa dume asiye na kasoro.+ Mambo ya Walawi 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ataosha matumbo na miguu yake kwa maji, kisha kuhani atavileta vyote na kuvichoma moto ili vifuke moshi kwenye madhabahu. Ni dhabihu ya kuteketezwa, dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayompendeza* Yehova.
10 “‘Ikiwa anatoa dhabihu kutoka katika kundi,+ yaani, kutoka kati ya wanakondoo dume au mbuzi, anapaswa kutoa dume asiye na kasoro.+
13 Ataosha matumbo na miguu yake kwa maji, kisha kuhani atavileta vyote na kuvichoma moto ili vifuke moshi kwenye madhabahu. Ni dhabihu ya kuteketezwa, dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayompendeza* Yehova.