Mwanzo 48:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi akaendelea kuwabariki siku hiyo,+ akisema: “Waisraeli na walitaje jina lenu wanapotangaza baraka, wakisema,‘Mungu na awafanye muwe kama Efraimu na kama Manase.’” Hivyo akaendelea kumtanguliza Efraimu mbele ya Manase.
20 Basi akaendelea kuwabariki siku hiyo,+ akisema: “Waisraeli na walitaje jina lenu wanapotangaza baraka, wakisema,‘Mungu na awafanye muwe kama Efraimu na kama Manase.’” Hivyo akaendelea kumtanguliza Efraimu mbele ya Manase.