-
Mambo ya Walawi 22:22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
22 Hampaswi kumtoa dhabihu mnyama yeyote aliye kipofu, aliyevunjika, aliyekatwa, aliyejeruhiwa, mwenye uvimbe, vipele, au mba; hampaswi kumtolea Yehova yeyote kati ya wanyama hao au kumtolea Yehova dhabihu za aina hiyo kwenye madhabahu yake.
-