-
Mwanzo 28:20-22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Kisha Yakobo akaweka nadhiri hii: “Ikiwa Mungu ataendelea kuwa pamoja nami na kunilinda katika safari yangu na kunipa mkate wa kula na mavazi ya kuvaa 21 nami nirudi kwa amani katika nyumba ya baba yangu, kwa hakika Yehova atakuwa amethibitika kuwa Mungu wangu. 22 Na jiwe hili ambalo nimelisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu,+ nami sitakosa kukupa sehemu ya kumi ya vitu vyote utakavyonipa.”
-