Hesabu 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Walipofika kwenye Bonde la Eshkoli,+ walikata tawi lenye kishada kimoja cha zabibu, na wanaume wawili wakalibeba kwa ufito pamoja na makomamanga kadhaa na tini.+ Kumbukumbu la Torati 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Wakaondoka na kupanda kwenda kwenye eneo lenye milima,+ wakafika kwenye Bonde la Eshkoli na kuipeleleza nchi.
23 Walipofika kwenye Bonde la Eshkoli,+ walikata tawi lenye kishada kimoja cha zabibu, na wanaume wawili wakalibeba kwa ufito pamoja na makomamanga kadhaa na tini.+
24 Wakaondoka na kupanda kwenda kwenye eneo lenye milima,+ wakafika kwenye Bonde la Eshkoli na kuipeleleza nchi.