Waamuzi 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Gideoni akaendelea kupanda kupitia eneo la watu waliokaa mahemani upande wa mashariki wa Noba na Yogbeha+ na kushambulia kambi ya maadui ambao hawakuwa wamejitayarisha kupigana.
11 Gideoni akaendelea kupanda kupitia eneo la watu waliokaa mahemani upande wa mashariki wa Noba na Yogbeha+ na kushambulia kambi ya maadui ambao hawakuwa wamejitayarisha kupigana.