Yoshua 24:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baadaye niliwatuma Musa na Haruni,+ nikailetea Misri mapigo,+ kisha nikawatoa ninyi. 1 Samweli 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Baada tu ya Yakobo kuingia Misri+ na mababu zenu kuanza kumlilia Yehova awasaidie,+ Yehova alimtuma Musa+ na Haruni ili wawaongoze mababu zenu kutoka Misri na kuwawezesha kuishi mahali hapa.+
8 “Baada tu ya Yakobo kuingia Misri+ na mababu zenu kuanza kumlilia Yehova awasaidie,+ Yehova alimtuma Musa+ na Haruni ili wawaongoze mababu zenu kutoka Misri na kuwawezesha kuishi mahali hapa.+