Hesabu 11:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa hiyo wakapaita mahali hapo Kibroth-hataava,*+ kwa sababu hapo ndipo walipowazika watu waliokuwa na tamaa na pupa.+ Kumbukumbu la Torati 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Pia, mlimkasirisha Yehova kule Tabera,+ kule Masa,+ na Kibroth-hataava.+
34 Kwa hiyo wakapaita mahali hapo Kibroth-hataava,*+ kwa sababu hapo ndipo walipowazika watu waliokuwa na tamaa na pupa.+